(255) 0753559833

TBBF PAMOJA NA MR. TANZANIA 2017 INAPITA MIKOA YOTE TANZANIA ILI KUWEZA KUSAJILI MAHANDSOME NA WATUNISHA MISULI WA KITANZANIA

TBBF PAMOJA NA MR. TANZANIA 2017 INAPITA MIKOA YOTE TANZANIA ILI KUWEZA KUSAJILI MAHANDSOME NA WATUNISHA MISULI WA KITANZANIA   Tumeweza wafikia washiriki wengi sana wanaohusika na MR HANDSOME 2017 tunaweza sema washiriki wamejitokeza kwa wingi na tunawashukuru sana kwa kuweza kujisajili na pia kwa wale ambao bado mpaka leo hawajaweza kujisajili kwenye mashindano yetu haya ya MR HANDSOME pamoja na MR PHOTOGENIC wanaweza kujisajili moja kwa moja kwenye ofisi za PILIPILI ENTERTAINMENT ambazo zipo SINZA MAKABURINI/ MAKAMA STREET PLOT NO.6 BLOCK C kwa wale washiriki ambao wako Dar es salaam, pia kwa wale washiriki ambao wapo nnje ya Dar

Read More