Shindano la Mr. Tanzania 2019litakuwa na madaraja 3 kutegemeana na uzito
Tuzo kwa Mshindi wa Mr. Tanzania 2019 ( Wa vipengele vyote )
- Kombe la mshindi wa kwanza wa “Mr. Tanzania 2019”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh 2000000 (Milioni Mbili).
- Atapata udhamini kamili kwenda kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Afrika
- Atapata mafunzo kutoka kwa Mr. Afrika na kuja kutoa mafunzo kwa washiriki wengine Tanzania.
- Mkataba wa miaka mitatu kutoka kwa uongozi kwa ajili ya matangazo ya biashara.
- Na zawadi tofauti tofauti kutoka kwa wadhamini.
Tuzo kwa Mshindi wa Mr. Tanzania 2019 kilo 80 na kuendelea
- Kombe la mshindi wa kwanza wa “Mr. Tanzania 2019”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh 3000000 (Milioni Tano).
- Mkataba wa miaka mitatu kutoka kwa uongozi kwa ajili ya matangazo ya biashara.
- Na zawadi tofauti tofauti kutoka kwa wadhamini.
Tuzo kwa Mshindi wa Pili wa Mr. Tanzania 2019 kilo 80 na kuendelea
- Kombe la mshindi wa Pili wa “Mr. Tanzania 2019”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa Pili wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh.1000000 (Milioni Moja) .
- Mkataba wa miaka 3 kwa ajili ya matangazo ya biashara.
Tuzo kwa Mshindi wa Tatu wa Mr. Tanzania 2019 kilo 80 na kuendelea
- Kombe la mshindi wa Tatu wa “Mr. Tanzania 2019”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa Tatu wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh 500,000 ( Laki Tano ) .
- Mkataba wa miaka 3 kwa ajili ya matangazo ya biashara.
Tuzo kwa Mshindi wa Mr. Tanzania 2019 wa kilo 60 kg mpaka 79 kg
- Kombe la mshindi wa kwanza wa “Mr. Tanzania 2019”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh.3000000 (Milioni Tatu).
- Mkataba wa miaka mitatu kutoka kwa uongozi kwa ajili ya matangazo ya biashara.
- NA zawadi tofauti tofauti kutoka kwa wadhamini.
Tuzo kwa Mshindi wa Pili wa Mr. Tanzania 2019 kilo 60 mpaka kilo 79
- Kombe la mshindi wa Pili wa “Mr. Tanzania 2019”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa Pili wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh 1000000 (Milioni Moja) .
- Mkataba wa miaka 3 kwa ajili ya matangazo ya biashara.
Tuzo kwa Mshindi wa Tatu wa Mr. Tanzania 2019 kilo 60 mpaka kilo 79
- Kombe la mshindi wa Tatu wa “Mr. Tanzania 2019”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa Tatu wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh.500,000 (Laki Tano) .
- Mkataba wa miaka 3 kwa ajili ya matangazo ya biashara.
Tuzo kwa Mshindi wa Mr. Tanzania 2019 wa kilo 60 kushuka chini
- Kombe la mshindi wa kwanza wa “Mr. Tanzania 2019”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh 3000000 (Milioni Tatu) .
- Mkataba wa miaka mitatu kutoka kwa uongozi kwa ajili ya matangazo ya biashara.
- Na zawadi tofauti tofauti kutoka kwa wadhamini.
Tuzo kwa Mshindi wa Pili Mr. Tanzania 2019 wa kilo 60 kushuka chini
- Kombe la mshindi wa Pili wa “Mr. Tanzania 2019”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa Pili wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh 1000000 (Milioni Moja).
- Mkataba wa miaka 3 kwa ajili ya matangazo ya biashara.
Tuzo kwa Mshindi wa Tatu Mr. Tanzania 2019 wa kilo 60 kushuka chini
- Kombe la mshindi wa Tatu wa “Mr. Tanzania 2019”, Medali, pamoja na Certificate.
- Mshindi wa Tatu wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh 500,000 (Laki Tano) .
- Mkataba wa miaka 3 kwa ajili ya matangazo ya biashara.
Tuzo kwa Mshindi wa Miss. Fitness 2019
- Kombe Zuri la mshindi wa kwanza wa “Miss. Fitness”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh 3000000 (Milioni Tatu).
Tuzo kwa Mshindi wa Pili wa Miss. Fitness 2019
- Kombe Zuri la mshindi wa kwanza wa “Miss. Fitness”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh 1000000 (Milioni Moja).
Tuzo kwa Mshindi wa Tatu wa Miss. Fitness 2019
- Kombe Zuri la mshindi wa kwanza wa “Miss. Fitness”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh 500,000 (Laki Tano) .
Tuzo kwa Mshindi wa Mr Physique 2019
- Kombe la mshindi wa kwanza wa “Mr Phyique”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh.3000,000 (Milioni Tatu).
Tuzo kwa Mshindi wa Pili Mr Physique 2019
- Kombe la mshindi wa kwanza wa “Mr Phyique”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh 1000000 (Milioni Moja) .
Tuzo kwa Mshindi wa Tatu Mr Physique 2019
- Kombe Zuri la mshindi wa kwanza wa “Mr Phyique”, Medali, pamoja na Cheti cha Ushiriki.
- Mshindi wa “Mr. Tanzania” atazawadiwa Tsh 500,000 (Laki Tano) .
Angalizo :
Zawadi zote za Pesa taslim zitatolewa kwa kufata taratibu za Mamlaka yaMapato Tanzania